Lakini Manchester United wanakimbizana na Newcastle na vilabu kadhaa vya juu vya Ulaya kumsajili Ekitike. (Football Insider) Nottingham Forest, Arsenal na Liverpool wanavutiwa na mshambuliaji wa ...
ULAJI wa vyakula vya protini, kwa wakazi wa vijijini ni mdogo usiozidi asilimia 60 ya ulaji uliopo mijini. Hali ambayo unaathiri lishe ya mama na mtoto inaanza kufanyiwa kazi katika kuleta maboresho, ...
SERIKALI imesema vifaa vya ujenzi vinavyozalishwa hapa nchini vinajitosheleza na hakuna faida ya watanzania kuendelea kununua kutoka nje ya nchini. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji ...
Picha na Jesse Mikofu Unguja. Katika kukuza na kuwaendeleza wabunifu wa kidijitali na wajasirimali, vinajengwa vituo 10 vya bunifu nchini vitakavyogharimu Sh15 bilioni. Kati ya hivyo, vinane vitakuwa ...
Amesema mbali na msaada wa vyakula rais Samia alitoa vifaa mbalimbali kwa lengo la kuwaendeleza watoto na kuimarisha huduma katika makao ya watoto, vikiwemo vifaa vya shule, majiko, mashine za kufulia ...
"Tumetembelea vyanzo vyetu vikuu vya maji, mtambo wa kutibu maji, pamoja na mtambo wa kuchakata tope kinyesi ili wadau wetu waone jinsi maji yanavyozalishwa na umuhimu wa kulinda rasilimali hii muhimu ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results