Katibu Mkuu wa Kongamano la Visiwa vya Pasifiki Baron Waqa amesisitiza umuhimu wa nchi wanachama wa kongamano hilo kujenga uhusiano na nchi mbalimbali akisema, “hatutaki kuegemea upande wowote.” ...
Idadi ya vifo vya raia kutokana na vurugu nchini Syria kati ya vikosi vya serikali ya mpito na vile vinavyomuunga mkono Rais aliyeng’olewa mamlakani Bashar al-Assad imeripotiwa kuzidi 1,000.
Ingawa Kongo haimo katika ajenda ya kikao cha Baraza la Masuala ya Kigeni, vyanzo vya kidiplomasia vimetuthibitishia kuwa vikwazo vipya vya watu binafsi vitawekwa leoJumatatu Machi 17, 2025.
Mamlaka za afya nchini Tanzania zimethibitisha kuwepo kwa visa viwili vya ugonjwa wa Mpox baada ya watu wawili kugundulika kuwa na maambukizi hayo. Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya imeeleza ...
Urusi iko tayari kusitisha mapigano, anasema Vladimir Putin, lakini "kuna masuala kadhaa madogo yanayopaswa kuwekwa wazi. Masuala aliyoyataja kabla ya mazungumzo na wajumbe wa Marekani huko ...
Changamoto zilizoelezwa kukwamisha miradi hiyo hazina mashiko. Hapa eti mzabuni wa vifaa vya ujenzi kama matofali ni mmoja tu ambaye anatakiwa kuyasambaza kwenye miradi yote, hii haikubaliki ina maana ...
Dar es Salaam. Ni simulizi ya Hellena Silas, mwanzilishi na mkurugenzi wa Kampuni ya Arena Recycling, inayojihusisha na urejelezaji taka za plastiki kutengeneza vifaa vya ujenzi kama matofali na mbao ...
Kampuni ya LG Electronics (LG) Afrika Mashariki leo imezindua chumba chake cha kwanza (showroom) cha maonyesho maalum kwa viyoyozi vya kibiashara (CAC) kwenye chumba cha maonyesho cha Mohamed ...
WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema ujenzi wa viwanja vya ndege vinne hapa nchi umejenga historia kubwa na matumaini yameonekana kuanza kukamilika kwake baadhi ya maeneo kwenye viwanja ...
MTWARA: MAMLAKA ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) na wadau mbalimbali wamefanya ziara mkoani Mtwara katika visima vya gesi asilia vya Mnazi Bay Madimba na Chuo cha Ualimu kinachonufaika ...
Pamoja na kupambania huko, amesema Machi 4, 2025 walishangaa kuona matofali, kokoto na mchanga vikishushwa eneo ... kwani eneo lote lilikuwa limejaa vibanda vya wakazi hao ambavyo vingine walikuwa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results