Awamu ya pili ya mpango kazi wa serikali kwa ujenzi mpya baada ya janga hilo inamalizika Machi 31 mwakani. Ishiba alisema miaka mitano ijayo itakuwa ni kipindi muhimu cha kukuza hatua za wakazi ...
Kiongozi wa muungano wa kihafidhina wa CDU/CSU Friedrich Merz anayetarajiwa kuwa Kansela mpya wa Ujerumani amemtembelea Kansela Olaf Scholz kwa mazungumzo ya mwanzo ya kuunda serikali. Friedrich ...
Nchini Mali, ushuru mpya wa huduma za simu ulianza kutumika mnamo Machi 5. Serikali sasa inakata 10% ya gharama ya kila nyongeza ya salio ya simu. Kwa kila uhamisho wa pesa kupitia simu ya mkononi ...
Yuji Iwasawa anamrithi Nawaf Salam, Waziri Mkuu mpya wa Lebanoni. Yuji Iwasawa atachukua nafasi ya mkuu wa mahakama ya Hague hadi muda wa Nawaf Salam utakapokamilika tarehe 5 Februari 2027.
Mfumo mpya wa kinga ya mwili imegunduliwa. Upo katika sehemu ya mwili inayojulikana kwa kusaga protini na mfumo huo una muundo wa siri ambao unaweza kutapika kemikali zinazoua bakteria.
Lipedema huchukuliwa kuwa ugonjwa "mpya" sio tu kwa sababu wataalamu wa afya hawajui hali hiyo - ambayo huendelea hata miaka themanini na mitano baada ya kuelezewa - lakini pia kwa sababu majibu ...
MANCHESTER, ENGLAND: MANCHESTER United imekiri kwamba inajiweka kwenye hatari ya kukosa ubingwa kwa miaka mingine mitano kutokana na kuwekeza pesa nyingi, Pauni 2 bilioni kwenye mradi wa ujenzi wa ...
DODOMA: WAKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mikoa na Vikosi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar wametakiwa kutumia mbinu mpya katika upelelezi wa makosa ya uhalifu wa kifedha ili kuimarisha usalama ...
Uwanja wa sasa wa Old Trafford utavunjwa na kushushwa kitu kipya kabisa katika eneo hilo. Klabu ya Manchester United imethibitisha kujenga uwanja mpya wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 100,000 karibu ...
Mshomba ameyasema hayo Machi 14, 2025, jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa Bodi mpya ya Wadhamini ya NSSF, hafla iliyoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na ...
Muonekano wa uwanja mpya wa Manchester United utakavyokuwa, utajengwa pembeni ya uwanja wa Old Trafford. Manchester, England. Manchester United imepanga kujenga Uwanja mpya ambao utakuwa na uwezo wa ...
Januari 22, mwaka huu, Gavana wa BoT, Tutuba alisema noti mpya zenye Saini zao (Gavan ana Waziri) zitaanza kutumika Februari Mosi, mwaka huu ikiwa ni toleo la mwaka 2010 ambazo ni za Sh. 10,000, 5,000 ...